Saturday, March 12, 2011

SHERIA ZA TANZANIA ZINAZOMGUSA ZAIDI MWANAMKE MOJA KWA MOJA

SHERIA ZA TANZANIA ZINAZOMGUSA ZAIDI MWANAMKE MOJA KWA MOJA

Ni vema kila mwanamke wa tanzania akazifahamu au kuelimishwa kuhusu Sheria hzi ambazo zinatugusa zaidi akina mama na watoto. Tutakuwa tukizijadili kila tupatapo fursa.

1. Katiba ya Nchi ya mwaka 1977 (akama ilivyorekebishwa mara kwa mara)
2. Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971.
3. Sheria za Ardhi (namba 4 na 5) za Mwaka 1999.
4. Sheria ya Kanuni ya Adhabu (Makosa ya Jinai) (Penal Code)
5. Sheria za Kazi.
6. Sheria za Kimila.
7. Sheria ya Mahakama ya 1984 (MCA)


Niaendelea na nyinginezo.

No comments:

Post a Comment