MAAMUZI MUHIMU YA MAHAKAMA KUHUSIANA NA HAKI ZA MWANAMKE TANZANIA
Mahakama zetu Kikatiba zimepewa jukumu la kutoa haki. Akina mama ambao ni waathirika wakubwa katika masuala ya ksiheria huiona mahakama kma akimbilio la mwisho kudai haki zao. Ni vema basi tukawa karibu katiika kuyajadili maamuzi muhimu ya mahakam Kuu na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania kwa sababu ndiyo hutoa msimamo kuhusu tafsiri ya Sheria fulani ambazo sisi Wabunge huzitunga mnapotupeleka Bungeni.
Hapa tutakuwa tukiyamaamuzi muhimu ya Mahakama zetuu ili tuone pia kama tunaweza kushauri yarekebishwe au yaendelezwe kumlinda mwanamke, mtoto na jamiii nzima.
No comments:
Post a Comment